Breaking News

Dereva wa Mwendokasi Kizimbani Kwa Kumkata Abiria Kidole



Khalid Shaha (43), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kujibu shtaka la kumkata kidole Godfrey Liwa kwa kioo cha gari 
Hata hivyo mshtakiwa alikana kutenda kosa hilo na aliachiwa kwa dhamana hadi Machi 12, 2019
Kwa habari za haraka na zauhakika zaidi endelea kutembelea website ya https://dirampya.blogspot.com/ ili uwe wa kwanza kupata habari.

No comments